Saturday, September 7, 2013

*REDD'S MISS TANZANIA 2013 WATEMBELEA RADIO 5 YA JIJINI ARUSHA



Mtangazaji wa kipindi cha burudani cha Funika Base kutoka Radio 5 ya Mjini Arusha , Julius Kamafa (kushoto) akifanya mahojiano na Washiriki wa Shindano la Redd’s Miss Tanzania 2013 katika studio za redio hiyo jana.
 Baadhi ya warembo wakijieleza Live Redio 5 hii leo walipotebelea kituo hicho. KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPO CHINI

No comments:

Post a Comment