Monday, January 6, 2014
*MIONDOKO YA HARUSI YA MOHAMED NA ELIZABETH
KWA MAHITAJI YAKO KATIKA SHUGHULI ZA SHEREHE KAMA VIDEO, PICHA, MUZIKI NA MC'S PIA KAVA DISGN, VIDEO EDITING N.K WAWEZA KUWASILIANA NASI KWA:-
SIMU NO:- 0752 882038/0714656660/0784782038 au 0655 306109/0787 200005/0754306109
BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com
WEBSITE:- www.sufianimafoto.com, www.nasmamafoto.blogspot.com
Sunday, January 5, 2014
*RAIS KIWETE ALIPOPOKEA MATEMBEZI YA UVCCM ZANZIBAR JANA
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la Chipukizi kabla ya kupokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar, jana.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akipokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akikagua Brass Band ya Chipukizi kabla ya kupokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akipokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na wana UVCCM baada ya kupokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Mwenyekiwa CCM (Visiwani) na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein na Viongozi wengine waki imba wimbo wa mashujaa wakati wa ya kupokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akihutubia baada ya kupokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar. PICHA NA IKULU
Subscribe to:
Posts (Atom)