Monday, January 6, 2014

BOFYA HAPA UCHEKI MY NUMBER ONE REMIX YA DIAMOND FT DAVIDO

Number One Diamond and Davido

*MIONDOKO YA HARUSI YA MOHAMED NA ELIZABETH


KWA MAHITAJI YAKO KATIKA SHUGHULI ZA SHEREHE KAMA VIDEO, PICHA, MUZIKI NA MC'S PIA KAVA DISGN, VIDEO EDITING N.K WAWEZA KUWASILIANA NASI KWA:-

SIMU NO:- 0752 882038/0714656660/0784782038 au 0655 306109/0787 200005/0754306109
BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com

WEBSITE:- www.sufianimafoto.com, www.nasmamafoto.blogspot.com

Sunday, January 5, 2014

*RAIS KIWETE ALIPOPOKEA MATEMBEZI YA UVCCM ZANZIBAR JANA

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la Chipukizi kabla ya kupokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar, jana.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akipokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akikagua Brass Band ya  Chipukizi kabla ya kupokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akipokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na wana UVCCM baada ya  kupokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Mwenyekiwa CCM (Visiwani) na Rais wa Zanzibar  Dkt Ali Mohamed Shein na Viongozi wengine waki imba wimbo wa mashujaa wakati wa  ya kupokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akihutubia baada ya  kupokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar. PICHA NA IKULU