Saturday, October 6, 2012

*RICK ROSS ALIVYOPAGAWISHA USIKU WA SERENGETI FIESTA LEADERS CLUB

  Msanii wa muziki kutoka nchini marekani, Rick Ross, akishambulia jukwaa wakati wa Tamasha kubwa la Serengeti Fiesta, lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni. Mbali na msanii huyo pia walikuwapo wasanii kibao wa muziki wa Bongo Flava kutoka Bongo na nje ya Bongo.
 Msanii AT, akishambilia jikwaa na mnenguaji wake wakati wa tamasha hilo.
 Sehemu ya umati wa mashabiki wa Tamasha hilo, waliobahatika kujitokeza kushuhudia mashambulizi.
Sehemu ya mashabiki wakiburudika.

No comments:

Post a Comment