Tuesday, October 30, 2012

*GODFREY NA UPENDO WAMEREMETA

Bwana harusi Godfrey Mng'anyi akipozi kwa picha na mkewe, Upendo, wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Wanandoa hao walifunga ndoa yao katika Kanisa la Manzese. Bwana harusi ni mfanyabiasha na Bi Harusi ni mjasiliamali katika Ofisi yake ya Stationary.

No comments:

Post a Comment