|
Waombolezaji wakiweka mashada juu ya kaburi. |
Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere akiweka shada la maua katika kaburi la Recho.
Miili ya marehemu Recho na mwanae ikipelekwa eneo la makaburi.
Jeneza lenye mwili wa Recho likiwa tayari kushushwa kaburini.
Mazishi ya mtoto wa Recho.
Watumishi wa Mungu (katikati) wakifanya maombi wakati wa maziko.
Mjomba wa marehemu, Evance Haule (kushoto) akiweka udongo katika kaburi la marehemu.
Mchumba wa marehemu George Saguda akiwa na simanzi nzito wakati akiaga mwili wa mchumba wake.
No comments:
Post a Comment