Thursday, May 30, 2013

*MATOKEO MAPYA YA WALIOFELI MITIHANI KIDATO CHA NNE 2012 HAYA HAPA

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) 
leo ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa-
QT.

 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANI 
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE)  ILIYOFANYIKA OKTOBA 2012
1.0          UTANGULIZI
MtihaniwaKidatochaNne, 2012ulifanyikanchinikotekuanziatarehe8/10-25/10/2012. Baraza la Mitihani la Tanzaniakatikakikaochakecha 94 kilichofanyikatarehe 30 Mei, 2013 liliidhinishamatokeo haya
2.0          USAJILI NA MAHUDHURIO
Jumlayavituo5,058vilitumikakatikakufanyamtihanihuoikilinganishwa 
na vituo4,795vilivyotumikamwaka 2011.
2.1          TaarifazaWatahiniwa
Jumlayawatahiniwa480,029  walisajiliwakufanyaMtihaniwaKidatochaNne 2012 wakiwemowasichana217,587sawa na asilimia45.33 na wavulana262,442sawa na asilimia54.67.WatahiniwawaliofanyamtihaniwaKidatochaNne 2012  ni 458,139sawa na asilimia95.44.Watahiniwa21,890 sawa na asilimia4.56yawatahiniwawotewaliosajiliwa, hawakufanyamtihani.

2.2          WatahiniwawaShule
Watahiniwawashulewaliosajiliwa ni  411,225 wakiwemowasichana182,982sawa na asilimia44.50 na wavulana228,243sawa na asilimia55.50.Watahiniwawashulewaliofanyamtihaniwalikuwa397,138sawa na asilimia96.57. Aidha, watahiniwa14,087sawa na asilimia3.43 hawakufanyamtihanikutokana na sababumbalimbalizikiwemoutoro, ugonjwa na vifo.
2.3          WatahiniwawaKujitegemea
Watahiniwawakujitegemeawaliosajiliwawalikuwa ni 68,804wakiwemowasichana34,605 sawa na asilimia50.30 na wavulana34,199sawa na asilimia49.70.Watahiniwa61,001wakiwemowasichana 30,918 nawavulana 30,083  wamefanyamtihaniwakatiwatahiniwa7,803sawa na asilimia 11.34 hawakufanyamtihani.
3.0          MATOKEO YA MTIHANI

No comments:

Post a Comment