Tuesday, July 2, 2013

*OBAMA MTAALAM WA SOKA PIA,AFANYA VITU ADIMU DAR KABLA YA KUPAA LEO


 Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzalisha umeme ya Ubungo jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua rasmi mitambo hiyo ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabla ya kuondoka nchini leo.

No comments:

Post a Comment