Saturday, July 6, 2013

*WAMASAI KUTOKA MKOANI ARUSHA WATEMBELEA BANDA LA AICC LILILOPO KATIKA VIWANJA VYA MAONESHO YA 37 YA BIASHARA YA KIMATAIFA DAR ES SALAAM.


.Katibu Mhitasi wa Arusha Intarnational Confrerence Centre. Joyce Mollel (kushoto) akiwaonyesha baadhi ya akinamama wa kikundi cha Masai cha Munduli Arusha shughuli wanazotoa, wakati akimama hao walipotembelea katika banda lao lililopo katika maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment