Tuesday, March 25, 2014

*BALOZI IDDI AKUTANA NA TAASISI ZA UWEKEZAJI VITEGA UCHUMI KUTOKA WA KAMPUNI ZA KIMATAIFA ZA UJENZI


Na Othman Khamis Ame, OMPR
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Taasisi na washirika wa Maendeleo bado wana fursa nzuri na pana ya kuendelea kushirikiana na Serikali katika uendelezaji wa miradi mbali mbali ya Maendeleo na Kiuchumi. 
KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE

*RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI MADAGO KOROGWE

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa Maabara ya shule ya Sekondari Madago, wilaya ya Korogwe jana mchana. Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi Mkoani Tanga. Picha na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment