Sunday, March 30, 2014

TATHMINI YA MSAJILI WA VYAMA UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA CHALINZE

 Msajili Msaidizi Ndugu Sisty Nyahoza kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa akitoa tathmini ya uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kwenye mkutano na waandishi wa habari hawapo kwenye picha,uliofanyika kwenye ukumbi wa Maasai Lungwe,Chalinze

No comments:

Post a Comment