Saturday, March 29, 2014

*WASHINDI WA TUZO YA RAIS YA MZALISHAJI BORA WATUNUKIWA NA MH RAIS.


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washindi walionyakua tuzo mbalimbali wakati wa hafla ya kutunuku Tuzo ya Rais ya Mzalishaji Bora wa mwaka 2013 iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam jana usiku. Picha na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment