Tuesday, March 25, 2014

*BREAKING NEEEEEWZZZ!!!!!! MKUU WA MKOA MARA JOHN TUPA AFARIKI GHAFLA


Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde zinasema kuwa, John Tupa, Mkuu wa Mkoa wa Mara, (pichani) amefariki ghafla muda mchache uliopita. Kwa mujibu wa mtoa habari ni kuwa marehemu Tupa, alikuwa akitoka katika moja ya kikao cha utendaji mkoani kwake ambapo baada ya kupewa 'Breafing', sasa alikuwa akielekea eneo husika kwa ajili ya kutembelea na kukagua kile alichoeleza katika taarifa hiyo, na wakati akipanda gari ndipo alipoanguka na kupoteza maisha. Mungu ametoa na Mungu ametwa, Mungu ilaze roho ya Marehemu Tupa mahala pema pepon, Amina.

Habari zitawajia kwa kadri zitakavyotufikia

No comments:

Post a Comment