Sunday, March 30, 2014

MABONDIA JUMA FUNDI NA BAINA MAZOLA WASAINI KUPAMBANA MEI 11

Bondia Juma Fundi kushoto akitunishiana misuli na Baina Mazola baada ya kusaini mkataba wa kupigana Mei 11 katika ukumbi wa DID HALL Mabibo Mwisho 
Promota wa mchezo huo wa masumbwi Mahiyo Mkumbi kulia akiwaonesha mkataba mabondia pamoja na viongozi wa masumbwi kabla ya kutia saini mkataba huo kwa ajili ya mpambano wa mei 11

Bondia Juma Fundi akitia saini mkataba wa kupambana na Baina Mazola mei 11 katika ukumbi wa DID Mabibo mwisho

Promota wa mchezo wa masumbwi Mahiyo Mkumbi katikati akiwainua juu mabondia kutambulisha mpambano wao utakaofanyika mei 11 mabibo mwisho

No comments:

Post a Comment