Tuesday, March 25, 2014

*RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI BARABARA YA MKATA HANDENI KOROGWE

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wengine wa wilaya ya Handeni na Mkoa wa Tanga wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuashiria kufungua rasmi barabara ya kilometa 119 ya Mkata Handeni Korogwe jana jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipanda mti wa kumbukumbu muda mfupi baada ya kufungua rasmi barabara ya Mkata Handeni Korogwe jana jioni.Pembeni ya Rais kulia ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli. 

No comments:

Post a Comment