Wednesday, May 28, 2014

MAREHEMU MAXMILIAN NGUBE AZIKWA LEO JIJINI DAR,WANAHABARI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMUAGA,

Jeneza lililohifadhi mwili wa Marehemu Maxmilian John Ngube likiwa kwenye viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam mchana wa leo Mei 28, 2014 tayari kwa shughuli ya kuagwa na kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni. Max Ngobe alifariki Dunia mwishoni mwa wiki iliyopita kutoka na maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.
Risala fupi ikisomwa wakati wa Shughuli hiyo na Kuangwa kwa Marehemu Max Ngobe mmoja wa wanahabari wakongwe Tanzania.
Wanahabari wakirekodi tukio la kuaga Mwili wa Marehemu Max.
Sehemu ya waombolezaji wakiwa kwenye foleni ya kwenda kuaga mwili wa Marehemu Max.
Wengine leo ndiyo ilikuwa siku ya kukutana...
Sehemu ya Wadau wa Habari waliohudhulia shughuli hiyo.

Ankal akiwa na baadhi ya wanamuziki waliofika kwenye mazishi hayo.
Wasanii nao hawakuwa nyuma kuungana na wanahabari katika kumuaga mpendwa marehemu Max.
 Waombolezaji wakiwa na nyuso za simanzi.
Mwili wa Marehemu Max ukielekea Makaburi ya Kinondoni kwa Mazishi.

No comments:

Post a Comment