Saturday, May 31, 2014

TP MAZEMBE YAMSAJILI ALLY SADIQ

Rais wa klabu ya TP Mazembe Moise Katumbi
Klabu bingwa ya soka katika Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, TP Mazembe, imemsajili mchezji wa kimataifa raia wa Zimbabwe, Ali Sadiki.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27, amepewa mkataba wa miaka mitano, kwa kupendeza kwa mchezo wake wakati wa wiki moja la majaribio kutoka katika klabu ya Stars ya Zimbabwe.

"Mazembe ni klabu kubwa na tunataka wachezaji wazuri zaidi kutoka kote duniani kuja hapa,’’ alisema Katumbi.Kusainiwa kwa Sadiki ni sehemu ya meneja wa klabu ya TP Mazembe, Moise Katumbi kuimarisha klabu hiyo katika ligi ya taifa.

Ikiwa kuna wachezaji wazuri zaidi, hata barani Ulaya wanakaribishwa kuja hapa.’’
Mazembe ni washindi mara nne wa ligi ya klabu bingwa Afrika na sasa wako katika robo fainali ya ligi ya mwaka huu sawa na AS Vita, Zamalek ya Misri, na Al-Hilal ya Sudan.
Sadiki alikuwa katika timu ya taifa ya Zimbabwe ambayo mwaka huu ilifika nusu fainali ya mabingwa wa Afrika.
Wakati huohuo, mchezaji wa Zambia Nathan Sinkala anayesakata kabumbu ya kimataifa, atamaliza msimu wake na klabu ya Sochaux ya Ufaransa mwaka huu

Katumbi amesema kuwa kuna vilabu kadhaa viavyomtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ifikapo Januari mwaka ujao. .

DIAMOND 'APAGAWISHA' NDANI YA WASHINGTON, DC, APIGA PICHA NA MASHABIKI WAKE, LEO KUFANYA SHOW NEW JERSEY

 Diamond Plutnumz akiongozana na wasafi pamoja na Dj Romy Jons (Dj wake) kulia wakiwa na mwenyeji wao DMK wakiwasili tayari kukutana na mashabiki wake waliofika kwenye mgahawa wa Safari, Washington, DC kumsubili na kupiga nae picha.
  Diamond Plutnumz akiwa ndani ya mgahawa wa Safari na kruu wake katika picha na mashbiki waliofika kumsabai na kupiga nae picha.
 Mashabiki wa Diamond wakipata ukodak moment na Diamond Plutnumz mara tu alipotua ndani ya mgahawa wa Safari siku ya Ijumaa May 30, 2014.
 Shabiki akiwa bado na kiu ya kupata ukodak na Rais wa Wasfai, Diamond kulia ni DMK poromota wa msanii huyo ambaye ndie anayekimbiza sasa hivi na akiwa nominee wa MTV africa na BET award itakayofanyika nchini Marekani June 29, 2014. KWA ICHA ZAIDI BOFYA READ MORE
 Diamond akiongea jambo na Mkuu wa Utawala na Fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka
 Mashabiki wa Diamond Plutnumza wakipata picha ya pamoja na Rais wa Wasafi.
 Mashabiki kutoka jirani zetu Kenya nao wakipata picha na Prezidaa Diamond Plutnumz walipofika kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Madancer wa Diamond wakiwa na Prezdaa ndani ya mgahawa wa Safari Washington, DC.
 Mtasha wa Kimarekani aliyewahi tembelea Tanzania nae hakuwa nyuma kupata picha na Diamond ndani ya mgahawa wa Safari ulipo Washington, DC
 Shabiki akiwa na furaha kupata ukodak na Rais wa Wasafi Diamond Plutnumz
 Diamond akiwa na shabiki wake katika picha ya pamoja.
Shabiki wa Diamond hakuwa nyuma katika kupata ukodak wa kumbukumbu.
 Shabiki wa Diamond akipata picha ya pamoja na Prezedaa wa Wasafi.
 Shabiki kutoka kwa jirani zetu nae akipata picha huku akijaribu kupata picha kwenye simu yake.
 Dj Romy Jons akipata picha ya pamoja na mashabiki kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Shabiki katika picha ya pamoja na Diamond.
 Shabiki na Diamond katika picha ya pamoja.
 Shabiki akipozi kwa picha na Diamond.
Shabiki akipozi kwa ukodak moment na Diamond.
 Shabiki wa Diamond akipata picha na rais huyo wa Wasafi.
 Shabiki akipata picha na Dj wa Diamond, Dj Romy Jons
Shabiki akipata picha na Wasafi.
Mashabiki katika picha ya pamoja na promota wa Diamond, DMK.

SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA.

DSC_0473
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida  kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoani hapa iliyoko kijiji cha Madewa nje kidogo ya Singida mjini.
Dk.Kone amesema hospitali hiyo itakapokamilika,itahudumia wagonjwa kutoka mikoa yote ya kanda ya kati.
Mkuu huyo alitoa rai hiyo wakati akitoa akitoa taarifa yake kwa katibu mkuu CCM taifa,Abrahamani Kinana aliyetembelea hospitali hiyo hivi karibuni.
Amesema mkoa umetegewa eneo la ekari 283 kwa ajili ya uendelezaji wa mradi wa hospitali hiyo, ambayo itakuwa ya mfano hapa nchini.
Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Dorothy Gwajima amesema lengo la mradi huo ni kuimarisha huduma za afya mkoani pamoja na mikoa jirani.
DSC_0429
 Katibu Mkuu wa CCM akiweka saini kwenye kitabu cha hospitali ya Rufaa huku Naibu Katibu Mkuu wake Mwigulu Nchemba na mkuu wa Mkoa wa Singida Kone wakishuhudia.
Dk.Gwajima amesema mradi huo utakapomalizika,utakuwa na majengo 29 yatakayotumika kutoa huduma mbali mbali.
Mganga huyo mkuu,amesema changamoto inayowakabili ni pamoja na uhaba wa watumishi,nyumba za kuishi watumishi na ufinyu mdogo wa bajeti ya dawa kutoka bohari kuu ya madawa (MSD).
Kwa upande wake Kinana,alitumia fursa hiyo kumpongeza Dk.Kone kwa utendaji kazi wake ambao umesaidia kujengwa kwa hospitali hiyo.
DSC_0446
 Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Singida (RMO) Bi. Doroth Bwajima akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo.
Amesema baada ya mradi huo kukamilika mkoa wa Singida utaondokana na matatizo ya huduma za afya.
"Ili kumuunga mkono Dk.Kone kwa hili jambo nzuri la ujenzi wa hospitali ya rufaa ambayo itasaidia Watanzania wengi kupata huduma ya afya kwa kiwango kizuri,nitahakikisha nina muunganisha na baadhi ya marafiki zangu wa ndani na nje ya nchi ili waweze kusaidia kumalizika kwa ujenzi wa hospaitali hii inayovutia",amesema Kinana.
DSC_0453
 Mganga mfwawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, Dkt Joseph Malunda, akiwaonesha michoro ya hospitali hiyo viongozi walioambatana na Kinana.
DSC_0463
Viongozi mbalimbali wa mkoa huo wakimsikiliza Dkt Malunda.
DSC_0481
 Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akisisitiza jambo kwa Kinana.
DSC_0499
Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akimwonyesha Katibu Mkuu kinana vifaa mbalimbali vilivyopo kwenye hospitali hiyo ya rufaa.
DSC_0506
Mbunge MO akiangalia mojawapo ya vifaa vya hospitali ya rufaa ya singida.
DSC_0496
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Mohammed Dewji akisalimiana na Daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama wa mkoa wa Singida Dkt, Seleman Mutani wakati wa ukaguzi wa hospitali hiyo.
DSC_0522
Katibu Mkuu wa CCM Taifa akiongozana na mkuu wa Mkoa Kone, Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji, wasaidizi wa Mbunge Duda Mugheny na David Mkufya wakimwongoza Kinana kutoka nje mara baada ya kukagua hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

TAIFA STARS KICKED OUT OF HOTEL IN ZIMBABWE.




Tanzania’s national football team, Taifa Stars on Thursday was kicked out of the hotel they were booked in ahead of their crucial return leg against Zimbabwe this Sunday, it has been reported. 

This is because the Zimbabwe Football Authority (ZIFA) hosting the team, failed to pay their accommodation, broadcast journalist Ezra Tshisa Sibanda says.
“This is a disgrace and a total failure by those in charge of the football association. I wouldn’t mind the players and technical staff deserting camp and going back to their clubs leaving Cuthbert Dube, CEO Mashingaidze and their board to play against Tanzania,” said Sibanda.  

(zimeye.org report).
The visitors were caught up in the cold war between ZIFA and Pandhari Hotels in what was a veryembarrassing incident. The Tanzanians, who checked into their hotel on Thursday, returned from their training session yesterday to find their rooms locked as the management wanted ZIFA to make a payment first.

ZIFA is believed to owe the hotel a substantial amount of money after the Warriors used the hotel as their camp in the past, while it has also hosted functions for the association.

The association’s spokesman, Xolisani Gwesela, who was out of town sitting for his examinations, said he was not aware of the embarrassing incident and needed time to verify before he could comment.  ---(herald.co.zw report).

CECAFA NILE BASIN CUP UPDATES.

Results:
AFC Leopards [3] Vs Defence [2]
Al-Merreikh 1 [2] Vs Academie 1 [3]

Today:
Victoria University Vs Mbeya City [5:30pm]
Ahly-Shandy Vs Malakia [8:30pm]

All remaining Matches moved
The organizing committee of the CECAFA Nile Basin Cup sitting this Saturday morning here at Grand Holiday Villa in Khartoum City, Sudan has resolved to shift all the remaining matches to Khartoum Stadium.

Today’s quarter final matches –Victoria University Vs Mbeya City and Ahly-Shandy Vs Malakia had been fixed for Al-Merreikh stadium. But the letter to all concerned clubs by the CECAFA Secretary General Nicholas Musonye says the changes take immediate effect.
“Due to the unavailability of Al-Merreikh stadium, I hereby inform you that all remaining matches starting this Saturday have been moved to Khartoum stadium. We regret any inconveniences caused” reads Musonye’s letter.
AL-Merreikh out of tourney
Tournament favourites and hosts Al-Merreikh went a goal up in the 4thminute [Agab Ramadan] of their game against Burundi’s Academie Tchite on Friday evening but later bowed out of the tournament after losing 2-3 on spot kicks.

Academie equalized in the 22nd minute through Manishimwe Alain and held onto the result till the last whistle.
Al-Merreikh’s Amir Kamal, Wawa Pascal and Tia Togbi Olivier failed to convert their chances. Only Sadjo Haman and Elbasha Ahmed scored. The youthful Academie side scored through Ngando Omar, Barampanze Shaban and Manishimwe Alain to storm the semifinals. Academie goal keeperSonzera Anslem was a match heroe.

AFC Leopards in narrow escape
Kenya’s AFC Leopards took a first half 3-0 lead against Ethiopia’s army side Defence FC in the first quarter final yesterday but later slowed down giving their opponents a 2-0 score in the second half. The hotly contested match finally ended 3-2.
AFC Leopards will now play Academie Tchite in the semifinals which they struggled to edge only 1-0 in their last group stage engagement.

Ahly Shandy on stage
Ahly Shandy will be in action today to fight against Malakia FC of South Sudan in a contest that will either see the hosting nation maintain a club in the semifinals or live to watch the guests. Earlier in the day, Victoria University will have played Mbeya City in another anticipated thriller at Khartoum stadium.
  
By ROGERS MULINDWA
CECAFA MEDIA MANAGER

+249-927-320-683
Celebrating Academie Tchite team after downing hosts Al-Merreikh 
Academie Goal keeper Sonzera Anslem being carried shoulder high by teamates after saving two penalities
More celebrations by Academie Tchite
Dejected Al-Merreikh fans after the game
AFC Leopards celebrating one of their 3 goals against Defence FC

MWILI WA MAREHEMU GEORGE TYSON UKITOLEWA HOSPITALI YA MOROGORO KULETWA JIJINI DAR.

Msanii AY na Mkuu wa Wilaya ya Mvumelo, wakitoka kuchukua mwili.
Mtangazaji wa kipindi cha The Mboni Show, akifutwa machozi wakati akilia kwa uchungu, akiwa ni mmoja kati ya watu waliyekuwa na marehemu jana kabla ya kifo hicho wakiwa katika zoezi la kugawa madawati.
Baadhi ya waombolezaji waliofika kuchukua mwili Hospitali.....
Baadhi ya waombolezaji na wafanyakazi wa TV1 wakiwa nyumbani kwa Tyson....
Aliyekuwa Mkwe wa Tyson, Natasha, Mama yake na Monalisa aliyekuwa mke wa Tyson, akiwa na waombolezaji nyumbani kwa Tyson.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akijumuika na waombolezaji waliofika  nyumbani kwa Rostam Azizi, Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii.
 Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, akitoa mawaidha wakati wa dua maalum iliyofanyika nyumbani kwa Rostam Azizi Oysterbay kumuombea Baba mzazi wa Rostam, aliyefariki katikati ya wiki hii.
Baadhi ya waombolezaji walioshiriki dua hiyo maalum nyumbani kwa Rostam Azizi.

JOYCE BANDA ACCEPTS TO HAND OVER POWER TO PROF. ARTHUR MUTHARIKA

Malawian President Joyce Banda has accepted the elections results declared by Malawi Electoral Commission (MEC) that Democratic Progressive Party (DPP) leader Professor Arthur Peter Mutharika (APM) is the president-elect.

Banda has reportedly accepted the election results despite earlier this week claiming the vote was “null and void “amid allegations of polling irregularities and fraud. 

The outgoing president said that she was ready to leave office after the court ruled that the MEC should rather announce the winner of the election and not initiate a recount.

Justice Kenyatta Nyirenda ruled that Ruled that the release of the results of voting that ended May 22 couldn’t be delayed beyond yesterday. Various political parties have called for a recount and cited irregularities.

“I am ready to leave,” said Banda whose official Kamuzu Palace in Lilongwe will be occupied by new tenant President-elect Mutharika. 

“But I am happy that the people of Malawi know that I wasn’t lying when I called this election fraudulent,” she said.

Mutharika, brother of Malawi’s former leader late Bingu wa Mutharika, was Friday night declared the winner of the country’s disputed presidential election after garnering 36.4 percent of the votes cast
.
Banda, who came to power after the death of Bingu wa Mutharika two years ago, was third with 20.2% of the vote.

The electoral commission said Mutharika came ahead of Lazarus Chakwera who obtained 27.8 percent of the vote.

Supporters of Banda have held a series of protests alleging that the vote was rigged in favour of Mutharika

DPP Publicity Secretary Nicholas Dausi however said the party maintained that “regardless of few irregularities by and large the election has been free, fair and credible.”

Source: Nyasa Times