Saturday, April 19, 2014

AZAM FC WAKABIDHIWA KOMBE LAO LA UBINGWA WA LIGI KUU BARA


Wachezaji wa Azam Fc, ambao ni Mabingwa wapya wa  Ligi ya Tanzania Bara  wakishangilia baada ya kukabidhiwa Kombe lao la ubingwa na kuweka historia ya kutwaa Ubingwa wa Soka kwa mara ya kwanza tangu walipopanda daraja na kuanza kucheza ligi kuu.
hafla hiyo ya kukabidhiwa kombe ilifanyika kwenye uwanja wa Azam complex Chamazi baada ya mchezo wao na JKT Ruvu ambapo waliibuka na ushindi wa bao 1-0

MATOKEO KAMILI YA MICHEZO YA LIGI KUU ILIYOCHEZWA KWENYE VIWANJA SABA LEO:- 
Yanga 1 (Simon Msuva Dk 86') v/s Simba 1 (Haruna Chanongo 76'), 
Oljoro 1 v/s Mtibwa Sugar 1, Rhino Rangers 0 v/s Ruvu Shooting 2 (Hamis Kisuke Dk 10)', Elias Maguli Dk 17')
 Mbeya City 1 (Saad Kipanga Dk 75') v/s Mgambo 0, 
Coastal 0 v/s Kagera Sugar 1 (Themi Felix  Dk 50')
Tz Prisons 1  (Peter Michael Dk 54') v/s Ashanti 0
 JKT Ruvu 0 v/s Azam Fc 1 (Brian Umony Dk 79')

No comments:

Post a Comment