Thursday, April 17, 2014

BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO SHWARIIIII



 Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu Mhe.Samia Suluhu akiwa 
anafuatilia mchango wa Mhe.William Lukuvi kwa makini.
Hali ya hewa yarejea kuwa ya kawaida bunge maalum la katiba mjini 
Dodoma leo
  Hali ya Ukumbi Ulivyo kuwa Leo ambapo  Wabunge wakifuatilia jambo 
kwa makini na ustaarabu wa hali ya juu.
 Wabunge wakifuatilia jambo kwa makini

No comments:

Post a Comment