Tuesday, May 21, 2013

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWENYEKITI MSTAAFU WA KAMATI TENDAJI YA BUNGE LA CHINA NA UJUMBE WAKE.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa Bunge la China, Lu Youngxiang (wa pili kushoto) aliyeongozana na ujumbe wake wakati walipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa mazungumzo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti Mstaafu wa Bunge la China, Lu Youngxiang (wa tatu kushoto) aliyeongozana na ujumbe wake baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.

No comments:

Post a Comment