Bajaji yenye namba za usajili T 507 BTR, ikika mitaa kuelekea katikati ya jiji, bila woga pamoja na kuwepo kwa zoezi la kukamata kamata Bajaji na Pikipiki zinazoingia maeneo ya katikati ya Jiji, lililoanza wiki iliyopita. Hapa ikikata kona ya Parm Beach
Hiyoooooo, Aga Khan.....
Hiyoooo, Barabara ya Obama.....
Hiyooooooo, ikikata kona kuelekea Posta.
No comments:
Post a Comment