Thursday, June 27, 2013

*KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA


 Mbunge wa Jimbo la Ilala, jijini Dar es Salaam, na mmoja wa Wenyeviti 
wa Bunge, Mussa Zungu Azzan akiongoza kikao cha Bunge
 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kutoka Mkoani Arusha, Catherine 
Magige akiwa Bungeni mjini Dodoma Juni 26,2013.
 Mbunge wa Nzega, Dk. Hamisi Kingwangalla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa CCM nchi za SADC, Kelvin Nyamori (katikati) na Mbunge 
wa Kisesa, Luhanga Mpina, nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.
 Mbunge wa Viti Maalu, Faida Mohamed Bakar akizungumza jambo na 
Mbunge wa Tandahimba, Juma Njwayo nje ya ukumbi wa Bunge mjini 
Dodoma jana.
Mbunge wa Viti Maalum, Faida Mohamed Bakar akifurahia jambo na 
Wabunge wenzake  Juma Njwayo wa Jimbo la Tandahimba, na Dk. 
Hamisi Kingwangala wa Nzega(kushoto) nje ya ukumbi wa Bunge 
mjini Dodoma jana.
 Wapigapicha za Habari wakiwa kazini Bungeni
 Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe akisalimiana na Mbunge wa 
Viti Maalum, Josephine Gezabuke (kulia) nje ya Ukumbi wa Bunge 
mjini Dodoma jana. Kushoto ni Waziri wa Makamu wa Rais, Mazingira,
 Dk. Terezya Huvisa.
 Wabunge wakitoka Bungeni jana

No comments:

Post a Comment