Sunday, June 16, 2013

TAIFA STARS YAKUBALI YAISHE MBELE YA IVORY COAST YATUPIWA 4-2 TAIFA LEO

 Mshambuliaji wa Timu ya Ivory Cost,Traore Lacina, akiwania Mpira hewani na Beki wa Timu ya Taifa, Shomari Kapombe, wakati wa Mchezo wa kuwania tiketi ya kucheza Kombe la Dunia 2014, nchini Brazil uliochezwa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Taifa Stars ililala kwa Mabao 4-2 dhidi ya Ivory Cost.
 Mshambuliaji Thomas Ulimwengu, 'Greda',  akimtoka beki wa Ivory Cost.
 Mtanange ulikuwa ni mzuri na wakuvutia, lakini...........
 Mshambuliaji wa Timu ya Ivory Cost,Yao Gervinho (kulia) akiwania mpira na Frank Domayo wakati wa Mchezo huo.

No comments:

Post a Comment