Wednesday, June 12, 2013

*TOUR YA WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2013 YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR


MENEJA WA BIA YA KILIMANJARO,GEORGE KAVISHE (KUSHOTO) AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI (HAWAPO PICHANI ) WAKATI WA UZINDUZI WA KILIMANJARO MUSIC TOUR UNAOTARAJIWA KUANZA WIKI IJAYO MKOANI DODOMA,WAKATI WA MKUTANO ULIOFANYIKA LEO KATIKA HOTELI YA HOLIDAY INN JIJINI DAR ES SALAAM.KULIA NI RAIS WA BENDI YA MASHUJAAM,CHARLES BABA NA MUIMBAJI WA NYIMBO ZA KIZAZI KIPYA, DIAMOD PLATINAM.

Mwimbaji wa nyimbo za nyimbo za kizazi kipya,Diamond Platinam (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Kilimanjaro Tour uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe na Rais wa Bendi ya Mashujaam,Charles Baba.
Mwimbaji wa nyimbo za kizazi kipya,Kala Jeremier (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Kilimanjaro Tour uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Wengine pichani toka kutoka kulia ni Rais wa Bendi ya Mashujaam,Charles Baba, Mwimbaji wa nyimbo za nyimbo za kizazi kipya,Diamond Platinam na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe.
Rais wa Bendi ya Mashujaam,Charles Baba(kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Kilimanjaro Tour ulifanyika Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe na Mwimbaji wa nyimbo za nyimbo za kizazi kipya,Diamond Platinam.
Waimbaji na washindi wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 wakiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro wakati wa uzinduzi wa Kili Muzic Tour uliofanyika leo katika Hotel ya Holiday Inn jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment