Mwenyekiti wa Mabalozi wa Afrika Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akihitimisha Kikao cha Mbalozi wa Afrika Ubelgiji. Balozi Kamala amewaalika Mabalozi wa Afrika na Wadau wengine wa maendeleo kuhudhuruia Mkutano wa Ushirikiano kwa Manufaa wa Wote utakaofanyika Tanzania kuanzia tarehe 28/06/2013 hadi tarehe 1/07/2013. Aidha, alizitaka nchi za Afrika na Ulaya kuimarisha Ushirikiano katika sekta ya teknolojia
No comments:
Post a Comment