Monday, June 3, 2013

*MKUTANO MKUU WA 12 WA MWAKA WA VITUO VYA ELIMU KWA NJIA YA MTANDAO KUTOKA NCHI 15 ZA AFRIKA (AADLC) WAFANYIKA DAR ES SALAAM LEO

 Katibu Mkuu ofisi ya Raisi na utumishi wa umma Bw Georg Yambesi (kulia) akiongozana na Mkurugenzi (DLC) kutoka  Senegal Bwana Mor Seck.
 Katibu Mkuu ofisi ya Raisi na utumishi wa umma Bw Georg Yambesi (kulia) akijadiliana jambo na Rais wa (AADCL) na Mkurugenzi (DLC) kutoka  Senegal Bwana Mor Seck (kushoto) kwa Yambesi ni Mkurugenzi mtedaji wa (TAGLA) Charles Senkoro.
Katibu mkuu wa ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma GEORGE YAMBESI amewataka wajumbe wa umoja wa vituo vya elimu kwa njia ya mtandao barani AFRIKA washirikiane na makampuni ya TEHAMA na simu za mikononi kuwafikishia elimu wananchi walio maeneo ya Vijijini Bwana Yambesi ndiye aliyeufungua mkutano huo leo picha na Chris Mfinanga.

No comments:

Post a Comment