Friday, June 7, 2013

*NANI KUMRITHI MISS TANZANIA BRIGIT ALFRED TAJI LA REDD'S MISS SINZA LEO??


Warembo 11 kati ya 12 wanaopanda jukwaani leo kuwania Taji lenye Sifa Kuu mbili ya Redd's Miss Sinza 2013, lakini pia linaloshikiliwa na Redd's Miss Tanzania 2012-2013, Brigit Alfred, leo katika Ukumbi wa Meeda Club uliopo Sinza Mori. Katika shindano hilo litakalosindikizwa na burudani kabambe kutoka kwa Bendi mahiri ya African Stars, 'Twanga Pepeta', viingilii vitakuwa ni Sh. 20,000/= kwa VIP na Sh. 10,000/= kwa viti vya kawaida. Shindano hili limedhaminiwa na Redds Original, Mtandao wa Sufianimafoto Blog, Dodoma Wine, Chilly Willy Energy Drink, Fredito Entertainment, CXC Africa, Clouds Media Group na Salut5.com.
Mshiriki mwenye No, 9-SARAHY PAUL (23)..
Mshiriki mwenye No 8-HAPPYNESS MAIRA (19)
Mshiriki mwenye No, 11-NICOLE MICHAEL (21)
Mshiriki mwenye No, 5-PRISCA ELEMENT (20)
Mshiriki mwenye No, 3-MAUA ABDUL (18)
Mshiriki mwenye No, 7- AGNES SIMON (22)
Mshiriki mwenye No, 1-CATRINA LAURENCE (19)
 Mshiriki mwenye No, 6-JACQUELINE ROBERT (20)
 Mshiriki mwenye No, 4-DORIS MWAIPOPO (19) 

Mshiriki mwenye No, 10-MARTHA JOSEPH (19)
 Mshiriki mwenye No, 2-NASRA HASSAN (18)
 Mwalimu wa warembo hao, Mwajay Model, akionyesha uwezo wa kusebeneka, wakati akifungua rasmi shoo ya warembo hao ya kujitambulisha katika Promosheni maalum ya utambulisho wa shindano lao iliyoandaliwa na kinywaji cha Redd's katika Baa ya Mary Land Mwenge jijini Dar es Salaam, jana usiku. Kushoto ni mshereheshaji wa hafla hiyo fupi..... 

Warembo hao wakipozi kusubiri utaratibu baada ya kuwasili eneo la tukio jana usiku.

Warembo wakimshangilia mwenzao wakati akipita mbele kwenda kujitambulisha, ''sasa sijui na leo jioni huyu ndiye atakayeshangiliwa kama hivi?''

Mwalimu wa warembo hao, Majay (kulia) akipozi na warembo wake.

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao....ya maandalizi...

No comments:

Post a Comment