Thursday, June 6, 2013

*R. I.P ALBERT MANGWEA, AZIKWA RASMI MJINI MOROGORO LEO

f18745b2cea411e2aa3022000a9e2931_7
Wakazi wa mjini Morogoro wakibeba Jeneza lenye mwili wa marehemu Albert Mangwe, kushusha makaburini tayari kwa kuzikwa leo mchana.

Kabla ya kuzikwa, wananchi wa Morogoro walipata fursa ya kuuaga mwili huo kwenye uwanja wa Jamhuri, ambapo Umati mkubwa wa wananchi ulijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Ngwair aliyefariki nchini Afrika Kusini, Mei 28. Wasanii wengi kutoka Dar es Salaam nao wamehudhuria maziko hayo.
16f11344cea711e2813a22000a1f8f34_7
Mwili wa Mangwea ukihifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele enel ya Kihonda Morogoro karibu kabisa na kaburi la baba yake mzazi.
e1147594cea211e2a86422000a1f9839_7
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria maziko hayo
4406673ccea511e2850422000a1f9a85_7
Umati wa watu ukishuhudia maziko hayo....

No comments:

Post a Comment