Tuesday, June 10, 2014

BONDIA KING CLASS MAWE AREJEA NA UBINGWA WA WPBF, AMCHAPA MZAMBIA KWA K/O.

Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Venance Mwamoto (kushoto) akipozi na Bondia Ibrahimu ‘King Class Mawe’ na mashabiki wake baada ya kumpokea aliporejea nchini na mkanda wa WPBF, kwa kumchapa mpinzani wake. Mzambia Mwansa Kabinga, kwa K/O katika raundi ya 9, na  kufanikiwa kunyakuwa ubingwa huo. Wa pili  (kushoto) ni bondia Shomari Milundi, (kulia) ni Promota aliyefanikisha safari hiyo Yaj Msangi, wadau Bilali Ngonyani na Rogers Masamu.

No comments:

Post a Comment