Wednesday, June 11, 2014

WADAU WA SHUGHULI ZA UZALISHAJI NA UTAFUTAJI GESI,MAFUTA WATOA MAONI RASIMU YA SERA YA PETROLI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava ( Wa nne kutoka kulia) akiwa katika picha  ya pamoja na  Wadau wa  shughuli za   utafutaji na uzalishaji gesi na mafuta  mara baada ya kufungua warsha hiyo. Picha na Asteria Muhozya.
 Mmoja wa wadau wa shughuli za utafutaji na uzalishaji gesi akitoa maoni yake kuhusu namna ya kuboresha rasimu ya Sera ya Petroli. Wanaofuatia ni baadhi ya wadau kutoka  Kampuni mbalimbali zinazofanya shughuli hizo nchini.
 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (katikati) akifuatilia kwa karibu wadau wakitoa  maoni wakati wa warsha ya  wadau wanaoshughulika na   shughuli za utafutaji na uzalishaji gesi na mafuta ili kupata maoni yao  yatakayosaidia kuboresha Rasimu ya Sera ya Petroli. 

Wa Kwanza kushoto ni Kamishna Msaidizi anayeshughulikia masuala ya Umeme Mhandisi Innocent Luoga, wa pili kulia ni Kamishna Msaidizi  Nishati, anayeshughulikia  Petroli  Mhandisi Stanley Marisa na wa kwanza kulia ni Mjiolojia Mwandamizi  Wizara ya Nishati na Madini,  Adam Zuberi.
 Washiriki katika warsha ya  wadau wanaoshughulika na   shughuli za utafutaji na uzalishaji gesi na mafuta ili kupata maoni yao  yatakayosaidia kuboresha Rasimu ya Sera ya Petroli

No comments:

Post a Comment