Tuesday, June 10, 2014

TBL YAWAPATIA WAKULIMA ELIMU YA UZALISHAJI BORA WA ZAO LA SHAYIRI

 Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.


 Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima kijitabu cha muongozo wa kilimo cha shayiri katika Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha juzi. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.
 Meneja wa Shayiri wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) D.. Bennie Basson akizungumza na wakulima wa shayiri ktk kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.

 Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima wa shayiri chati ya matumizi ya mbolea na viuatilifu vinavyoweza kuongeza mavuno ya shayiri katika Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.
 Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson, akiwaonesha magugu ambayo ni hatari kwa zao la shayiri  alipowatembelea wakulima wa zao hilo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha juzi. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.
 Mtafiti wa zao la shayiri Geremia Mremi kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akitoa elimu juu ya mbegu bora zilizothibitishwa kutoka TBL alipowatembelea wakulima wa zao hilo katika Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha juzi. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment